Chapter 93 (Sura 93)
1; Naapa kwa mchana!
2; Na kwa usiku unapo tanda!
3; Mola wako Mlezi hakukuacha, wala hakukasirika nawe.
4; Na bila ya shaka wakati ujao utakuwa bora kwako kuliko ulio tangulia.
5; Na Mola wako Mlezi atakupa mpaka uridhike.
6; Kwani hakukukuta yatima akakupa makaazi?
7; Na akakukuta umepotea akakuongoa?
8; Akakukuta mhitaji akakutosheleza?
9; Basi yatima usimwonee!
10; Na anaye omba au kuuliza usimkaripie!
11; Na neema za Mola wako Mlezi zisimlie.
Pages: 1 2 3 4 5 6 7 8 9 10 11 12 13 14 15 16 17 18 19 20 21 22 23 24 25 26 27 28 29 30 31 32 33 34 35 36 37 38 39 40 41 42 43 44 45 46 47 48 49 50 51 52 53 54 55 56 57 58 59 60 61 62 63 64 65 66 67 68 69 70 71 72 73 74 75 76 77 78 79 80 81 82 83 84 85 86 87 88 89 90 91 92 93 94 95 96 97 98 99 100 101 102 103 104 105 106 107 108 109 110 111 112 113 114