Swahili Quran | Soma Kurani

Chapter 114 (Sura 114)
1; Sema: Ninajikinga kwa Mola Mlezi wa wanaadamu,
2; Mfalme wa wanaadamu,
3; Mungu wa wanaadamu,
4; Na shari ya wasiwasi wa Shetani, Khannas,
5; Anaye tia wasiwasi katika vifua vya watu,
6; Kutokana na majini na wanaadamu.

#=====================================================================

# Translator: Ali Muhsin Al-Barwani

# Source: www.theholyquran.com
#Edited: Qurandatabase.org
#=====================================================================

Pages ( 114 of 114 ): « Previous1 ... 112113 114