Chapter 104 (Sura 104)
1; Ole wake kila safihi, msengenyaji!
2; Aliye kusanya mali na kuyahisabu.
3; Anadhani ya kuwa mali yake yatambakisha milele!
4; Hasha! Atavurumishwa katika H´ut´ama.
5; Na nani atakujuvya ni nini H´ut´ama?
6; Moto wa Mwenyezi Mungu ulio washwa.
7; Ambao unapanda nyoyoni.
8; Hakika huo utafungiwa nao
9; Kwenye nguzo zilio nyooshwa.
Pages: 1 2 3 4 5 6 7 8 9 10 11 12 13 14 15 16 17 18 19 20 21 22 23 24 25 26 27 28 29 30 31 32 33 34 35 36 37 38 39 40 41 42 43 44 45 46 47 48 49 50 51 52 53 54 55 56 57 58 59 60 61 62 63 64 65 66 67 68 69 70 71 72 73 74 75 76 77 78 79 80 81 82 83 84 85 86 87 88 89 90 91 92 93 94 95 96 97 98 99 100 101 102 103 104 105 106 107 108 109 110 111 112 113 114